Written By waziri on Saturday, January 4, 2014 | 6:21 PM
Aida
Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya,
hivi karibuni alijifungua watoto wanne mapacha kwa mkupuo(Quadliplets)
katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.